Mambo ya Walawi 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Mkiendelea kutembea katika sheria zangu na kushika amri zangu na kuzifuata,+ Kumbukumbu la Torati 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+ Zaburi 119:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nitazipenda sheria zako.+Sitalisahau neno lako.+ Yakobo 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kuna mmoja ambaye ni mpaji-sheria na mwamuzi,+ ambaye anaweza kuokoa na kuangamiza.+ Lakini wewe ni nani ili uwe ukimhukumu jirani yako?+
15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+
12 Kuna mmoja ambaye ni mpaji-sheria na mwamuzi,+ ambaye anaweza kuokoa na kuangamiza.+ Lakini wewe ni nani ili uwe ukimhukumu jirani yako?+