5 kwa sababu ya uhakika wa kwamba Abrahamu alisikiliza sauti yangu na kuendelea kushika wajibu wake kwangu, amri zangu, masharti yangu, na sheria zangu.”+
10 kwa maana utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako ili uzishike amri zake na sheria zake zilizoandikwa katika kitabu hiki cha sheria,+ kwa sababu utarudi kwa Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na nafsi yako yote.+