17 Yehova umemfanya aseme leo kwamba atakuwa Mungu wako unapotembea katika njia zake na kushika masharti+ yake na amri+ zake na maamuzi yake ya hukumu+ na kusikiliza sauti+ yake.
2 nawe utakapokuwa umerudi kwa Yehova Mungu wako+ na kusikiliza sauti yake kulingana na yote ninayokuamuru leo, wewe na wana wako, kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote,+