Kumbukumbu la Torati 26:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Leo Yehova amewatangazia kwamba atakuwa Mungu wenu mnapotembea katika njia zake na kushika masharti yake,+ amri zake,+ na sheria zake,*+ na mnaposikiliza sauti yake.
17 Leo Yehova amewatangazia kwamba atakuwa Mungu wenu mnapotembea katika njia zake na kushika masharti yake,+ amri zake,+ na sheria zake,*+ na mnaposikiliza sauti yake.