Kumbukumbu la Torati 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana unapaswa kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kushika amri+ zake zote ambazo ninakuamuru leo, ili kufanya yaliyo sawa machoni pa Yehova Mungu wako.+ Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.
18 Kwa maana unapaswa kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kushika amri+ zake zote ambazo ninakuamuru leo, ili kufanya yaliyo sawa machoni pa Yehova Mungu wako.+
13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.