Kumbukumbu la Torati 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kila neno ninalowaamuru ninyi ndilo mtakalokuwa waangalifu kulifanya.+ Msiongeze juu yake wala kuondoa kutoka kwake.+ Nehemia 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nikasema: “Ah, Yehova Mungu wa mbinguni, Mungu mkuu na mwenye kuogopesha,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo kuwaelekea wale wanaompenda+ na kushika amri zake,+ Zaburi 119:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wewe mwenyewe umetoa maagizo yako kwa kuamuru+Yashikwe kwa uangalifu.+ 1 Yohana 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+
32 Kila neno ninalowaamuru ninyi ndilo mtakalokuwa waangalifu kulifanya.+ Msiongeze juu yake wala kuondoa kutoka kwake.+
5 Nami nikasema: “Ah, Yehova Mungu wa mbinguni, Mungu mkuu na mwenye kuogopesha,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo kuwaelekea wale wanaompenda+ na kushika amri zake,+
3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+