Kumbukumbu la Torati 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana mnapaswa kumtii* Yehova Mungu wenu kwa kushika amri zake zote ambazo ninawaamuru leo, na hivyo kufanya yaliyo sawa machoni pa Yehova Mungu wenu.+
18 Kwa maana mnapaswa kumtii* Yehova Mungu wenu kwa kushika amri zake zote ambazo ninawaamuru leo, na hivyo kufanya yaliyo sawa machoni pa Yehova Mungu wenu.+