Mambo ya Walawi 19:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa hiyo mtazishika sheria zangu zote na maamuzi yangu yote ya hukumu, nanyi mtazifanya.+ Mimi ni Yehova.’” Zaburi 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kumwogopa+ Yehova ni jambo safi, husimama milele.Maamuzi ya hukumu+ ya Yehova ni ya kweli;+ yote yameonekana kuwa yenye uadilifu.+
37 Kwa hiyo mtazishika sheria zangu zote na maamuzi yangu yote ya hukumu, nanyi mtazifanya.+ Mimi ni Yehova.’”
9 Kumwogopa+ Yehova ni jambo safi, husimama milele.Maamuzi ya hukumu+ ya Yehova ni ya kweli;+ yote yameonekana kuwa yenye uadilifu.+