Zaburi 119:160 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 160 Kiini cha neno lako ni kweli,+Na kila uamuzi wako wa hukumu wa uadilifu ni wa mpaka wakati usio na kipimo.+ Ufunuo 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nami nikaisikia madhabahu ikisema: “Ndiyo, Yehova Mungu, Mweza-Yote,+ maamuzi yako ya hukumu ni ya kweli na ya uadilifu.”+
160 Kiini cha neno lako ni kweli,+Na kila uamuzi wako wa hukumu wa uadilifu ni wa mpaka wakati usio na kipimo.+
7 Nami nikaisikia madhabahu ikisema: “Ndiyo, Yehova Mungu, Mweza-Yote,+ maamuzi yako ya hukumu ni ya kweli na ya uadilifu.”+