Zaburi 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kumwogopa+ Yehova ni jambo safi, husimama milele.Maamuzi ya hukumu+ ya Yehova ni ya kweli;+ yote yameonekana kuwa yenye uadilifu.+ Zaburi 119:137 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 137 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+Nayo maamuzi yako ya hukumu ni manyoofu.+ Ufunuo 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+
9 Kumwogopa+ Yehova ni jambo safi, husimama milele.Maamuzi ya hukumu+ ya Yehova ni ya kweli;+ yote yameonekana kuwa yenye uadilifu.+
2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+