Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+

      Kwa maana njia zake zote ni haki.+

      Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+

      Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+

  • Ezra 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ee Yehova Mungu wa Israeli, wewe ni mwadilifu,+ kwa maana tumebaki tukiwa watu walioponyoka, kama ilivyo leo hii. Tupo hapa mbele zako katika hatia yetu,+ kwa maana haiwezekani kusimama mbele zako kwa sababu ya jambo hili.”+

  • Nehemia 9:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nawe ni mwadilifu+ kuhusu mambo yote ambayo yametupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu,+ lakini sisi ndio tumetenda kwa uovu.+

  • Yeremia 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?

  • Danieli 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwako wewe, Ee Yehova, kuna uadilifu, lakini kwetu sisi kuna aibu ya uso kama ilivyo leo hii,+ kwa watu wa Yuda na kwa wakaaji wa Yerusalemu na kwa watu wote wa Israeli, wale walio karibu na wale walio mbali katika nchi zote ambako uliwatawanya kwa sababu ya ukosefu wao wa uaminifu waliokutendea.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki