Zaburi 130:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kama ungekuwa unaangalia makosa,+ Ee Yah,Ee Yehova, ni nani angesimama?+ Zaburi 143:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wala usiingie katika hukumu pamoja na mtumishi wako;+Kwa maana mbele zako, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kuwa mwadilifu.+
2 Wala usiingie katika hukumu pamoja na mtumishi wako;+Kwa maana mbele zako, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kuwa mwadilifu.+