Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikasema:+ “Ee Mungu wangu, naona aibu+ na haya+ kukuinulia uso wangu, Ee Mungu wangu, kwa maana makosa+ yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imeongezeka sana hata kufika mbinguni.+

  • Nehemia 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao uzao wa Israeli wakajitenga+ na wageni+ wote, wakasimama na kuungama+ dhambi zao wenyewe+ na makosa ya baba zao.+

  • Zaburi 38:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana makosa yangu yamepita juu ya kichwa changu;+

      Kama mzigo mzito, ni mazito sana kwangu.+

  • Zaburi 41:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mimi nami, nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+

      Uiponye nafsi yangu, kwa maana nimekutendea dhambi.”+

  • Zaburi 51:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Dhidi yako wewe, wewe peke yako, nimetenda dhambi,+

      Nami nimefanya lililo baya machoni pako,+

      Ili uwe mwadilifu unapoongea,+

      Ili usiwe na lawama unapohukumu.+

  • Waroma 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana wote wamefanya dhambi+ na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki