Ezra 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikasema:+ “Ee Mungu wangu, naona aibu+ na haya+ kukuinulia uso wangu, Ee Mungu wangu, kwa maana makosa+ yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imeongezeka sana hata kufika mbinguni.+ Nehemia 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao uzao wa Israeli wakajitenga+ na wageni+ wote, wakasimama na kuungama+ dhambi zao wenyewe+ na makosa ya baba zao.+ Zaburi 38:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana makosa yangu yamepita juu ya kichwa changu;+Kama mzigo mzito, ni mazito sana kwangu.+ Zaburi 41:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mimi nami, nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+Uiponye nafsi yangu, kwa maana nimekutendea dhambi.”+ Zaburi 51:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Dhidi yako wewe, wewe peke yako, nimetenda dhambi,+Nami nimefanya lililo baya machoni pako,+Ili uwe mwadilifu unapoongea,+Ili usiwe na lawama unapohukumu.+ Waroma 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana wote wamefanya dhambi+ na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,+
6 Nami nikasema:+ “Ee Mungu wangu, naona aibu+ na haya+ kukuinulia uso wangu, Ee Mungu wangu, kwa maana makosa+ yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imeongezeka sana hata kufika mbinguni.+
2 Nao uzao wa Israeli wakajitenga+ na wageni+ wote, wakasimama na kuungama+ dhambi zao wenyewe+ na makosa ya baba zao.+
4 Mimi nami, nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+Uiponye nafsi yangu, kwa maana nimekutendea dhambi.”+
4 Dhidi yako wewe, wewe peke yako, nimetenda dhambi,+Nami nimefanya lililo baya machoni pako,+Ili uwe mwadilifu unapoongea,+Ili usiwe na lawama unapohukumu.+