Luka 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 (Na watu wote na wakusanya-kodi, waliposikia hili, wakamtangaza Mungu kuwa mwadilifu,+ wakiwa wamekwisha kubatizwa kwa ubatizo wa Yohana.+ Ufunuo 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+
29 (Na watu wote na wakusanya-kodi, waliposikia hili, wakamtangaza Mungu kuwa mwadilifu,+ wakiwa wamekwisha kubatizwa kwa ubatizo wa Yohana.+
2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+