15 Yesu akajibu, akamwambia: “Acha iwe hivyo, wakati huu, kwa maana katika njia hiyo inafaa kwetu kufanya yote yaliyo ya uadilifu.”+ Ndipo akaacha kumzuia.
32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu katika njia ya uadilifu,+ lakini hamkumwamini.+ Hata hivyo, wakusanya-kodi na makahaba walimwamini,+ nanyi, ijapokuwa mliona hilo, hamkujuta baadaye ili kumwamini.