Marko 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baadaye akawa ameketi mezani, nyumbani kwake, na wakusanya-kodi+ wengi na watenda-dhambi walikuwa wameketi pamoja na Yesu na wanafunzi wake, kwa maana walikuwa wengi nao wakaanza kumfuata.+ Luka 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini hata wakusanya-kodi wakaja ili kubatizwa, nao wakamwambia: “Mwalimu, tufanye nini?”+ Luka 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 (Na watu wote na wakusanya-kodi, waliposikia hili, wakamtangaza Mungu kuwa mwadilifu,+ wakiwa wamekwisha kubatizwa kwa ubatizo wa Yohana.+
15 Baadaye akawa ameketi mezani, nyumbani kwake, na wakusanya-kodi+ wengi na watenda-dhambi walikuwa wameketi pamoja na Yesu na wanafunzi wake, kwa maana walikuwa wengi nao wakaanza kumfuata.+
29 (Na watu wote na wakusanya-kodi, waliposikia hili, wakamtangaza Mungu kuwa mwadilifu,+ wakiwa wamekwisha kubatizwa kwa ubatizo wa Yohana.+