Mathayo 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye akawabatiza watu katika Mto Yordani,+ wakiungama waziwazi dhambi zao. Luka 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini hata wakusanya-kodi wakaja ili kubatizwa, nao wakamwambia: “Mwalimu, tufanye nini?”+