Mathayo 21:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu katika njia ya uadilifu,+ lakini hamkumwamini.+ Hata hivyo, wakusanya-kodi na makahaba walimwamini,+ nanyi, ijapokuwa mliona hilo, hamkujuta baadaye ili kumwamini. Luka 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 (Na watu wote na wakusanya-kodi, waliposikia hili, wakamtangaza Mungu kuwa mwadilifu,+ wakiwa wamekwisha kubatizwa kwa ubatizo wa Yohana.+
32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu katika njia ya uadilifu,+ lakini hamkumwamini.+ Hata hivyo, wakusanya-kodi na makahaba walimwamini,+ nanyi, ijapokuwa mliona hilo, hamkujuta baadaye ili kumwamini.
29 (Na watu wote na wakusanya-kodi, waliposikia hili, wakamtangaza Mungu kuwa mwadilifu,+ wakiwa wamekwisha kubatizwa kwa ubatizo wa Yohana.+