Mathayo 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ule ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Mbinguni au kwa wanadamu?”+ Lakini wakaanza kujadiliana kati yao wenyewe, wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuambia, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’+ Luka 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi mwingi wa Sheria walilipuuza shauri+ la Mungu kwao, kwa kuwa hakuwa amewabatiza.)
25 Ule ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Mbinguni au kwa wanadamu?”+ Lakini wakaanza kujadiliana kati yao wenyewe, wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuambia, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’+
30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi mwingi wa Sheria walilipuuza shauri+ la Mungu kwao, kwa kuwa hakuwa amewabatiza.)