Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 21:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu katika njia ya uadilifu,+ lakini hamkumwamini.+ Hata hivyo, wakusanya-kodi na makahaba walimwamini,+ nanyi, ijapokuwa mliona hilo, hamkujuta baadaye ili kumwamini.

  • Marko 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa hiyo wakaanza kujadiliana kati yao wenyewe, wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atasema, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’+

  • Luka 7:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi mwingi wa Sheria walilipuuza shauri+ la Mungu kwao, kwa kuwa hakuwa amewabatiza.)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki