Mathayo 21:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu katika njia ya uadilifu,+ lakini hamkumwamini.+ Hata hivyo, wakusanya-kodi na makahaba walimwamini,+ nanyi, ijapokuwa mliona hilo, hamkujuta baadaye ili kumwamini. Marko 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa hiyo wakaanza kujadiliana kati yao wenyewe, wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atasema, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’+ Luka 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi mwingi wa Sheria walilipuuza shauri+ la Mungu kwao, kwa kuwa hakuwa amewabatiza.)
32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu katika njia ya uadilifu,+ lakini hamkumwamini.+ Hata hivyo, wakusanya-kodi na makahaba walimwamini,+ nanyi, ijapokuwa mliona hilo, hamkujuta baadaye ili kumwamini.
31 Kwa hiyo wakaanza kujadiliana kati yao wenyewe, wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atasema, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’+
30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi mwingi wa Sheria walilipuuza shauri+ la Mungu kwao, kwa kuwa hakuwa amewabatiza.)