Kumbukumbu la Torati 32:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana wao ni taifa ambalo juu yake shauri huangamia,+Na katikati yao hamna uelewaji.+ Matendo 13:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na kwa hiyo, wakiongea kwa ujasiri, Paulo na Barnaba wakasema: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalisukumia mbali+ kutoka kwenu na hamjioni kuwa mnastahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+ Matendo 20:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 kwa maana sikuepuka kuwaambia ninyi mashauri+ yote ya Mungu. Waroma 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 kwa maana, kwa sababu ya kukosa kujua uadilifu wa Mungu+ bali wakitafuta kujiwekea uadilifu wao wenyewe,+ hawakujitiisha kwa uadilifu wa Mungu.+
46 Na kwa hiyo, wakiongea kwa ujasiri, Paulo na Barnaba wakasema: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalisukumia mbali+ kutoka kwenu na hamjioni kuwa mnastahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+
3 kwa maana, kwa sababu ya kukosa kujua uadilifu wa Mungu+ bali wakitafuta kujiwekea uadilifu wao wenyewe,+ hawakujitiisha kwa uadilifu wa Mungu.+