Mathayo 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo akawaambia watumwa wake, ‘Karamu ya ndoa kwa kweli iko tayari, lakini wale walioalikwa hawakustahili.+ Luka 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi mwingi wa Sheria walilipuuza shauri+ la Mungu kwao, kwa kuwa hakuwa amewabatiza.)
8 Ndipo akawaambia watumwa wake, ‘Karamu ya ndoa kwa kweli iko tayari, lakini wale walioalikwa hawakustahili.+
30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi mwingi wa Sheria walilipuuza shauri+ la Mungu kwao, kwa kuwa hakuwa amewabatiza.)