5 Tazama! Utaliita taifa ambalo hulijui,+ na watu wa taifa ambao hawakukujua watakimbia wakija kwako,+ kwa ajili ya Yehova Mungu wako,+ na kwa ajili ya Mtakatifu wa Israeli,+ kwa sababu atakuwa amekurembesha.+
6 Lakini walipoendelea kupinga na kutukana,+ akayakung’uta mavazi+ yake na kuwaambia: “Damu+ yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe. Mimi ni safi.+ Tangu sasa na kuendelea nitaenda kwa watu wa mataifa.”+
19 Hata hivyo, nauliza, je, Israeli walikosa kujua?+ Kwanza Musa anasema: “Nitawachochea ninyi kuwa na wivu kupitia lile ambalo si taifa; nitawachochea ninyi kuwa na hasira kali kupitia taifa jinga.”+