-
Waroma 10:19Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
19 Hata hivyo, nauliza, Israeli hawakukosa kujua, sivyo? Kwanza Musa asema: “Hakika mimi nitawachochea nyinyi watu kwenye wivu kupitia lile ambalo si taifa; hakika nitawachochea nyinyi kwenye hasira kali kupitia taifa pumbavu.”
-