19 Lakini ninauliza, je, kweli Israeli walikosa kujua?+ Kwanza Musa anasema: “Nitawachochea muwe na wivu kupitia lile ambalo si taifa; nitawachochea muwe na hasira kali kupitia taifa lenye ujinga.”+
19 Hata hivyo, nauliza, je, Israeli walikosa kujua?+ Kwanza Musa anasema: “Nitawachochea ninyi kuwa na wivu kupitia lile ambalo si taifa; nitawachochea ninyi kuwa na hasira kali kupitia taifa jinga.”+