Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Utaniokoa kutokana na watu wenye kutafuta-tafuta makosa.+

      Utanichagua kuwa kiongozi wa mataifa.+

      Watu ambao sijawajua​​—⁠watanitumikia.+

  • Isaya 56:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ambaye anawakusanya waliotawanyika wa Israeli,+ ni hili: “Nitawakusanya pamoja kwake wengine mbali na wale walio wake ambao tayari wamekusanywa.”+

  • Matendo 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Simioni+ ameeleza kikamili jinsi Mungu kwa mara ya kwanza alivyoelekeza uangalifu wake kwa mataifa ili achukue kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.+

  • Waroma 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hata hivyo, ikiwa matawi mengine yalikatwa lakini wewe, ujapokuwa mzeituni wa mwitu, ulipandikizwa katikati yake+ na kuwa mshiriki wa mzizi wa unono+ wa mzeituni,+

  • Waefeso 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo endeleeni kukumbuka akilini kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa mataifa kwa habari ya mwili;+ “kutotahiriwa” ndivyo mlivyoitwa na kile kinachoitwa “kutahiriwa” ambacho kimefanywa mwilini kwa mikono+—

  • Ufunuo 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki