-
Waefeso 2:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Kwa hiyo, kumbukeni kwamba wakati fulani ninyi, watu wa mataifa kwa kuzaliwa, mlikuwa mkiitwa “watu wasiotahiriwa” na wale walioitwa “watu waliotahiriwa,” kutahiriwa ambako kumefanywa mwilini kwa mikono ya wanadamu.
-
-
Waefeso 2:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Kwa hiyo fulizeni kuzingatia akilini kwamba hapo zamani nyinyi mlikuwa watu wa mataifa kwa habari ya mwili; “kutotahiriwa” ndivyo mlivyoitwa na kile kiitwacho “kutahiriwa” kifanywacho katika mwili kwa mikono —
-