-
Waefeso 2:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Kwa hiyo, kumbukeni kwamba wakati fulani ninyi, watu wa mataifa kwa kuzaliwa, mlikuwa mkiitwa “watu wasiotahiriwa” na wale walioitwa “watu waliotahiriwa,” kutahiriwa ambako kumefanywa mwilini kwa mikono ya wanadamu.
-