Waefeso 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo endeleeni kukumbuka akilini kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa mataifa kwa habari ya mwili;+ “kutotahiriwa” ndivyo mlivyoitwa na kile kinachoitwa “kutahiriwa” ambacho kimefanywa mwilini kwa mikono+— Waefeso 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yeye aliyefanya vile vikundi viwili+ kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta+ wa katikati uliowatenganisha.+
11 Kwa hiyo endeleeni kukumbuka akilini kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa mataifa kwa habari ya mwili;+ “kutotahiriwa” ndivyo mlivyoitwa na kile kinachoitwa “kutahiriwa” ambacho kimefanywa mwilini kwa mikono+—
14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yeye aliyefanya vile vikundi viwili+ kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta+ wa katikati uliowatenganisha.+