Matendo 10:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 bali katika kila taifa mtu ambaye anamwogopa na kutenda uadilifu anakubalika kwake.+ Waroma 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana ikiwa wewe ulikatwa kutoka kwenye mzeituni ulio wa asili ya mwituni na kupandikizwa+ kinyume cha asili katika mzeituni wa bustanini, si afadhali zaidi kwamba hawa walio wa asili wapandikizwe katika mzeituni wao wenyewe!+ Wakolosai 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ambapo hakuna Mgiriki wala Myahudi, tohara wala kutotahiriwa, mgeni, Msikithe, mtumwa, mtu huru,+ bali Kristo ni kila kitu na katika vitu vyote.+
24 Kwa maana ikiwa wewe ulikatwa kutoka kwenye mzeituni ulio wa asili ya mwituni na kupandikizwa+ kinyume cha asili katika mzeituni wa bustanini, si afadhali zaidi kwamba hawa walio wa asili wapandikizwe katika mzeituni wao wenyewe!+
11 ambapo hakuna Mgiriki wala Myahudi, tohara wala kutotahiriwa, mgeni, Msikithe, mtumwa, mtu huru,+ bali Kristo ni kila kitu na katika vitu vyote.+