1 Samweli 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye Daudi akataabika sana,+ kwa sababu watu walisema apigwe kwa mawe;+ kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa zimeingiwa na uchungu;+ kila mmoja kwa sababu ya wanawe na binti zake. Basi Daudi akajitia nguvu kwa Yehova Mungu wake.+ 2 Samweli 22:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Nawe utanifanya niponyoke lawama ya watu wangu.+Utanilinda niwe kiongozi wa mataifa;+Watu ambao sikujua—watanitumikia.+
6 Naye Daudi akataabika sana,+ kwa sababu watu walisema apigwe kwa mawe;+ kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa zimeingiwa na uchungu;+ kila mmoja kwa sababu ya wanawe na binti zake. Basi Daudi akajitia nguvu kwa Yehova Mungu wake.+
44 Nawe utanifanya niponyoke lawama ya watu wangu.+Utanilinda niwe kiongozi wa mataifa;+Watu ambao sikujua—watanitumikia.+