Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Utaniokoa kutokana na watu wenye kutafuta-tafuta makosa.+

      Utanichagua kuwa kiongozi wa mataifa.+

      Watu ambao sijawajua​​—⁠watanitumikia.+

  • Isaya 55:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tazama! Utaliita taifa ambalo hulijui,+ na watu wa taifa ambao hawakukujua watakimbia wakija kwako,+ kwa ajili ya Yehova Mungu wako,+ na kwa ajili ya Mtakatifu wa Israeli,+ kwa sababu atakuwa amekurembesha.+

  • Isaya 65:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 65 “Wale ambao hawakuwa wameniuliza+ nimewaacha wanitafute.+ Wale ambao hawakuwa wamenitafuta nimewaacha wanipate.+ Nimesema, ‘Mimi hapa, mimi hapa!’+ kwa taifa ambalo halikuwa linaliitia jina langu.+

  • Hosea 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami hakika nitampanda yeye duniani kama mbegu kwa ajili yangu,+ nami nitamwonyesha rehema yeye ambaye hakuonyeshwa rehema,+ nami nitawaambia wale ambao si watu wangu: “Ninyi ni watu wangu”;+ wao nao watasema: “Wewe ni Mungu wangu.” ’ ”+

  • Matendo 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Simioni+ ameeleza kikamili jinsi Mungu kwa mara ya kwanza alivyoelekeza uangalifu wake kwa mataifa ili achukue kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki