20 Lakini Isaya anakuwa mjasiri sana na kusema: “Wale ambao hawakuwa wakinitafuta walinipata;+ nikajifunua kwa wale ambao hawakuwa wakiuliza juu yangu.”+
12 kwamba wakati huo mlikuwa bila Kristo,+ mlikuwa mmetengwa mbali+ na taifa la Israeli nanyi mlikuwa wageni kwa maagano ya ahadi,+ wala hamkuwa na tumaini+ na mlikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+