Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Daudi akampiga Hadadezeri+ mwana wa Rehobu mfalme wa Soba+ alipokuwa akienda zake kurudisha mamlaka yake kwenye mto Efrati.+

  • Zaburi 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Niombe,+ ili nikupe mataifa yawe urithi wako+

      Na miisho ya dunia iwe miliki yako mwenyewe.+

  • 1 Timotheo 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ufunuo huo yule Mwenye Uwezo Mkubwa+ aliye wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake wenyewe zilizowekwa,+ yeye Mfalme+ wa wale wanaotawala wakiwa wafalme na Bwana+ wa wale wanaotawala wakiwa mabwana,

  • Ufunuo 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na juu ya vazi lake la nje, juu ya paja lake, ana jina ambalo limeandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki