2 Samweli 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Daudi akampiga Hadadezeri+ mwana wa Rehobu mfalme wa Soba+ alipokuwa akienda zake kurudisha mamlaka yake kwenye mto Efrati.+ Zaburi 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Niombe,+ ili nikupe mataifa yawe urithi wako+Na miisho ya dunia iwe miliki yako mwenyewe.+ 1 Timotheo 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ufunuo huo yule Mwenye Uwezo Mkubwa+ aliye wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake wenyewe zilizowekwa,+ yeye Mfalme+ wa wale wanaotawala wakiwa wafalme na Bwana+ wa wale wanaotawala wakiwa mabwana, Ufunuo 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na juu ya vazi lake la nje, juu ya paja lake, ana jina ambalo limeandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+
3 Na Daudi akampiga Hadadezeri+ mwana wa Rehobu mfalme wa Soba+ alipokuwa akienda zake kurudisha mamlaka yake kwenye mto Efrati.+
15 Ufunuo huo yule Mwenye Uwezo Mkubwa+ aliye wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake wenyewe zilizowekwa,+ yeye Mfalme+ wa wale wanaotawala wakiwa wafalme na Bwana+ wa wale wanaotawala wakiwa mabwana,
16 Na juu ya vazi lake la nje, juu ya paja lake, ana jina ambalo limeandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+