15 Ufunuo huo yule Mwenye Uwezo Mkubwa+ aliye wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake wenyewe zilizowekwa,+ yeye Mfalme+ wa wale wanaotawala wakiwa wafalme na Bwana+ wa wale wanaotawala wakiwa mabwana,
14 Hawa watapigana na Mwana-Kondoo,+ lakini, kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme,+ Mwana-Kondoo atawashinda.+ Pia, wale walioitwa na waliochaguliwa na walio waaminifu pamoja naye watawashinda.”+