Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Yesu akakaribia na kuwaambia, akisema: “Nimepewa mamlaka yote+ mbinguni na duniani.

  • Wafilipi 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ili katika jina la Yesu kila goti lipigwe la wale walio mbinguni na wale walio duniani na wale walio chini ya nchi,+

  • 1 Timotheo 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ufunuo huo yule Mwenye Uwezo Mkubwa+ aliye wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake wenyewe zilizowekwa,+ yeye Mfalme+ wa wale wanaotawala wakiwa wafalme na Bwana+ wa wale wanaotawala wakiwa mabwana,

  • Ufunuo 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Hawa watapigana na Mwana-Kondoo,+ lakini, kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme,+ Mwana-Kondoo atawashinda.+ Pia, wale walioitwa na waliochaguliwa na walio waaminifu pamoja naye watawashinda.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki