Mathayo 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye Yesu akakaribia na kuwaambia, akisema: “Nimepewa mamlaka yote+ mbinguni na duniani. Matendo 2:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa hiyo acha nyumba yote ya Israeli ijue kwa hakika kwamba Mungu alimfanya Bwana+ na pia Kristo, Yesu huyu ambaye ninyi mlimtundika mtini.”+ 1 Timotheo 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ufunuo huo yule Mwenye Uwezo Mkubwa+ aliye wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake wenyewe zilizowekwa,+ yeye Mfalme+ wa wale wanaotawala wakiwa wafalme na Bwana+ wa wale wanaotawala wakiwa mabwana,
36 Kwa hiyo acha nyumba yote ya Israeli ijue kwa hakika kwamba Mungu alimfanya Bwana+ na pia Kristo, Yesu huyu ambaye ninyi mlimtundika mtini.”+
15 Ufunuo huo yule Mwenye Uwezo Mkubwa+ aliye wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake wenyewe zilizowekwa,+ yeye Mfalme+ wa wale wanaotawala wakiwa wafalme na Bwana+ wa wale wanaotawala wakiwa mabwana,