6 Hata hivyo, wakuu wa makuhani na maofisa walipomwona, wakapaaza sauti, wakisema: “Mtundike mtini! Mtundike mtini!”+ Pilato akawaambia: “Mchukueni ninyi wenyewe mkamtundike mtini, kwa maana mimi sioni kosa lolote ndani yake.”+
10 acheni ijulikane kwenu nyote na kwa watu wote wa Israeli, kwamba katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ ambaye mlimtundika mtini+ lakini ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu,+ kupitia kwake, mtu huyu anasimama hapa akiwa na afya mbele yenu.