Mathayo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 akaja kukaa katika jiji linaloitwa Nazareti,+ ili lipate kutimizwa lile lililosemwa kupitia manabii: “Yeye ataitwa Mnazareti.”+ Matendo 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, Petro akasema: “Fedha na dhahabu sina, lakini kile nilicho nacho ndicho ninachokupa:+ Katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ tembea!”+
23 akaja kukaa katika jiji linaloitwa Nazareti,+ ili lipate kutimizwa lile lililosemwa kupitia manabii: “Yeye ataitwa Mnazareti.”+
6 Hata hivyo, Petro akasema: “Fedha na dhahabu sina, lakini kile nilicho nacho ndicho ninachokupa:+ Katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ tembea!”+