Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Utakaa mbali na neno la uwongo.+ Nawe usimuue mtu asiye na hatia na yule aliye mwadilifu, kwa maana sitamtangaza mwovu kuwa mwadilifu.+

  • Mathayo 27:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Pilato akawaambia: “Basi, nitafanya nini na Yesu anayeitwa Kristo?” Wote wakasema: “Atundikwe mtini!”+

  • Marko 15:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mara nyingine tena wakapaaza sauti: “Mtundike mtini!”+

  • Luka 23:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo wakaanza kupiga kelele, wakisema: “Mtundike mtini! Mtundike mtini!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki