Kutoka 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Utakaa mbali na neno la uwongo.+ Nawe usimuue mtu asiye na hatia na yule aliye mwadilifu, kwa maana sitamtangaza mwovu kuwa mwadilifu.+ Mathayo 27:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Pilato akawaambia: “Basi, nitafanya nini na Yesu anayeitwa Kristo?” Wote wakasema: “Atundikwe mtini!”+ Marko 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mara nyingine tena wakapaaza sauti: “Mtundike mtini!”+ Luka 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo wakaanza kupiga kelele, wakisema: “Mtundike mtini! Mtundike mtini!”+
7 “Utakaa mbali na neno la uwongo.+ Nawe usimuue mtu asiye na hatia na yule aliye mwadilifu, kwa maana sitamtangaza mwovu kuwa mwadilifu.+
22 Pilato akawaambia: “Basi, nitafanya nini na Yesu anayeitwa Kristo?” Wote wakasema: “Atundikwe mtini!”+