Marko 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mara nyingine tena wakapaaza sauti: “Mtundike mtini!”+ Yohana 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, wakuu wa makuhani na maofisa walipomwona, wakapaaza sauti, wakisema: “Mtundike mtini! Mtundike mtini!”+ Pilato akawaambia: “Mchukueni ninyi wenyewe mkamtundike mtini, kwa maana mimi sioni kosa lolote ndani yake.”+
6 Hata hivyo, wakuu wa makuhani na maofisa walipomwona, wakapaaza sauti, wakisema: “Mtundike mtini! Mtundike mtini!”+ Pilato akawaambia: “Mchukueni ninyi wenyewe mkamtundike mtini, kwa maana mimi sioni kosa lolote ndani yake.”+