Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Msiibe,+ wala msidanganye,+ wala msitendeane kwa uwongo mtu yeyote na mwenzake.+

  • Luka 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Pia, wale walio katika utumishi wa kijeshi wakamuuliza: “Na sisi pia tufanye nini?” Naye akawaambia: “Msimsumbue mtu yeyote wala kumshtaki+ mtu yeyote kwa uwongo, bali mtosheke na posho lenu.”+

  • Waefeso 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki