Mambo ya Walawi 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Msiibe,+ wala msidanganye,+ wala msitendeane kwa uwongo mtu yeyote na mwenzake.+ Luka 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Pia, wale walio katika utumishi wa kijeshi wakamuuliza: “Na sisi pia tufanye nini?” Naye akawaambia: “Msimsumbue mtu yeyote wala kumshtaki+ mtu yeyote kwa uwongo, bali mtosheke na posho lenu.”+ Waefeso 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+
14 Pia, wale walio katika utumishi wa kijeshi wakamuuliza: “Na sisi pia tufanye nini?” Naye akawaambia: “Msimsumbue mtu yeyote wala kumshtaki+ mtu yeyote kwa uwongo, bali mtosheke na posho lenu.”+
25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+