Mathayo 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 na kuwafundisha+ kushika+ mambo yote ambayo nimewaamuru ninyi.+ Na, tazama! mimi nipo pamoja nanyi+ siku zote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo.”+ Yohana 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Siwaiti ninyi tena watumwa, kwa sababu mtumwa hajui yale ambayo bwana wake anafanya. Lakini nimewaita ninyi rafiki,+ kwa sababu mambo yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu nimewajulisha ninyi.+
20 na kuwafundisha+ kushika+ mambo yote ambayo nimewaamuru ninyi.+ Na, tazama! mimi nipo pamoja nanyi+ siku zote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo.”+
15 Siwaiti ninyi tena watumwa, kwa sababu mtumwa hajui yale ambayo bwana wake anafanya. Lakini nimewaita ninyi rafiki,+ kwa sababu mambo yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu nimewajulisha ninyi.+