Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo, yeyote yule anayevunja+ moja ya amri hizi ndogo zaidi na kufundisha wanadamu hivyo, yeye ataitwa ‘mdogo zaidi’ kuhusiana na ufalme wa mbinguni.+ Kwa habari ya yeyote anayezifanya na kuzifundisha,+ huyo ataitwa ‘mkubwa’+ kuhusiana na ufalme wa mbinguni.

  • Matendo 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 wakati uleule sikuepuka kuwaambia ninyi lolote kati ya mambo yenye faida wala kuwafundisha+ ninyi hadharani na nyumba+ kwa nyumba.

  • 2 Timotheo 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na mambo uliyoyasikia kutoka kwangu kwa uthibitisho wa mashahidi wengi,+ mambo hayo uwakabidhi watu waaminifu, ambao nao watakuwa na sifa za kustahili vya kutosha kufundisha wengine.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki