1 Wakorintho 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana nilipokea kutoka kwa Bwana kile nilichowapa ninyi pia, kwamba Bwana Yesu katika ule usiku+ aliokuwa akienda kutolewa alichukua mkate 2 Petro 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ili mkumbuke maneno yaliyosemwa hapo zamani na manabii watakatifu+ na amri ya Bwana na Mwokozi kupitia mitume wenu.+ 1 Yohana 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa kweli, hii ndiyo amri yake, kwamba tuwe na imani katika jina la Mwana wake Yesu Kristo+ na tuwe tukipendana,+ kama yeye alivyotupa sisi amri.
23 Kwa maana nilipokea kutoka kwa Bwana kile nilichowapa ninyi pia, kwamba Bwana Yesu katika ule usiku+ aliokuwa akienda kutolewa alichukua mkate
2 ili mkumbuke maneno yaliyosemwa hapo zamani na manabii watakatifu+ na amri ya Bwana na Mwokozi kupitia mitume wenu.+
23 Kwa kweli, hii ndiyo amri yake, kwamba tuwe na imani katika jina la Mwana wake Yesu Kristo+ na tuwe tukipendana,+ kama yeye alivyotupa sisi amri.