Mathayo 13:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na yule adui aliyepanda ni Ibilisi.+ Yale mavuno+ ni umalizio wa mfumo wa mambo,+ na wavunaji ni malaika. Mathayo 13:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo: malaika watatoka kwenda na kuwatenga waovu+ kutoka katikati ya waadilifu+ Mathayo 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alipokuwa ameketi juu ya Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakisema: “Tuambie, Mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”+
39 na yule adui aliyepanda ni Ibilisi.+ Yale mavuno+ ni umalizio wa mfumo wa mambo,+ na wavunaji ni malaika.
49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo: malaika watatoka kwenda na kuwatenga waovu+ kutoka katikati ya waadilifu+
3 Alipokuwa ameketi juu ya Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakisema: “Tuambie, Mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”+