6 Basi Mungu wa kweli akamwambia katika ndoto: “Mimi pia nimejua kwamba katika unyoofu wa moyo wako umefanya hili,+ nami pia nilikuwa nikikuzuia usinitendee dhambi.+ Ndiyo sababu mimi sikukuruhusu umguse.+
9 Hakuna yeyote aliye mkubwa zaidi yangu katika nyumba hii, naye hakunizuilia chochote ila wewe, kwa sababu wewe ni mke wake.+ Basi ninawezaje kufanya ubaya huu mkubwa na kwa kweli nimtendee Mungu dhambi?”+
21 Ndipo yule mwana akamwambia, ‘Baba, nimetenda dhambi juu ya mbingu na juu yako,+ sistahili tena kuitwa mwana wako. Unifanye niwe kama mmoja wa watu wako waliokodiwa.’+