Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Mungu wa kweli akamwambia katika ndoto: “Mimi pia nimejua kwamba katika unyoofu wa moyo wako umefanya hili,+ nami pia nilikuwa nikikuzuia usinitendee dhambi.+ Ndiyo sababu mimi sikukuruhusu umguse.+

  • Mwanzo 39:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hakuna yeyote aliye mkubwa zaidi yangu katika nyumba hii, naye hakunizuilia chochote ila wewe, kwa sababu wewe ni mke wake.+ Basi ninawezaje kufanya ubaya huu mkubwa na kwa kweli nimtendee Mungu dhambi?”+

  • Mambo ya Walawi 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hilo ni toleo la hatia.+ Hakika amekuwa na hatia dhidi ya Yehova.”

  • 2 Samweli 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Daudi akamwambia+ Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Kwa hiyo Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye ameacha dhambi yako ipite.+ Hutakufa.+

  • Luka 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo yule mwana akamwambia, ‘Baba, nimetenda dhambi juu ya mbingu na juu yako,+ sistahili tena kuitwa mwana wako. Unifanye niwe kama mmoja wa watu wako waliokodiwa.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki