Methali 6:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ndivyo ilivyo kwa yule anayelala na mke wa mwenzake,+ mtu anayemgusa hatakosa kuadhibiwa.+ Marko 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja’;+ hivi kwamba wao si wawili tena, bali mwili mmoja.