3 Baadaye Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto ya usiku, akamwambia: “Tazama, wewe ni kama tu umekufa, kwa sababu ya mwanamke ambaye umemchukua,+ kwa kuwa yeye ni mke wa mwingine.”+
4 Kisha Daudi akatuma wajumbe ili yeye amchukue.+ Basi mwanamke huyo akaja, akaingia kwake,+ akalala naye,+ wakati alipokuwa akijitakasa kutoka katika uchafu wake.+ Baadaye mwanamke huyo akarudi nyumbani kwake.
11 Na mwanamume amefanya chukizo pamoja na mke wa mwenzake, na mwanamume amemnajisi+ binti-mkwe wake mwenyewe kwa mwenendo mpotovu;+ na ndani yako mwanamume amemfedhehesha dada yake, binti ya baba yake mwenyewe.+