10 “‘Sasa mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine ni mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake.+ Lazima auawe, mwanamume huyo mzinzi na vilevile mwanamke huyo mzinzi.+
22 “Ikiwa mwanamume atapatikana akilala na mwanamke aliye na mume,+ wote wawili watauawa pamoja, yule mwanamume anayelala na mwanamke pamoja na huyo mwanamke.+ Kwa hiyo lazima utaondolea mbali lililo baya kutoka katika Israeli.+