Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Nawe usimpe mke wa mwenzako shahawa inayokutoka awe asiye safi kutokana nayo.+

  • Kumbukumbu la Torati 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Wala usifanye uzinzi.+

  • Yeremia 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwa sababu wametenda upumbavu katika Israeli,+ nao wanaendelea kufanya uzinzi pamoja na wake za wenzao+ na kuendelea kusema uwongo kwa jina langu mwenyewe neno ambalo mimi sikuwaamuru.+

      “‘“Mimi ndiye ninayejua nami ni shahidi,”+ asema Yehova.’”

  • Waroma 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hivyo, basi, mume wake anapokuwa hai, mwanamke huyo ataitwa mzinzi ikiwa atakuwa wa mwanamume mwingine.+ Lakini mume wake akifa, yeye yuko huru kutoka katika sheria ya mume, hivi kwamba mwanamke huyo si mzinzi akiwa wa mwanamume mwingine.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki